Compartir
Faidika na Methali, Nahau na Vitendawili
Ali Abdulla Ali
(Autor)
·
Phoenix Publishers
· Tapa Blanda
Faidika na Methali, Nahau na Vitendawili - Ali, Ali Abdulla
Sin Stock
Te enviaremos un correo cuando el libro vuelva a estar disponible
Reseña del libro "Faidika na Methali, Nahau na Vitendawili"
FAIDIKA NA METHALI, NAHAU NA VITENDAWILI ni kitabu kilichoandikwa kwa ajili ya wanafunzi wa Kenya. Hata hivyo, kinaweza kutumika katika nchi yoyote ya Jumuia ya Afrika Mashariki na penginepo Kiswahili kinapozungumzwa. Katika mkusanyo huu, wanafunzi wa Shule za Msingi pamoja na walimu wao wataweza kufaidika kwa kuwa na kitabu kimoja chenye fani hizi - methali, nahau na vitendawili - zote katika fumbato moja. Msomaji anapokimaliza vyema kitabu hiki atakuwa amejiongezea msamiati na idadi kubwa ya methali, nahau na vitendawili. Aidha, atakuwa mweledi wa lugha ya kisanii (fasihi) kwani ataweza kubaini na kueleza ujumbe uliyomo kwenye methali, nahau na vitendawili, na pia kuzitumia fani hizo katika miktadha mbalimbali
- 0% (0)
- 0% (0)
- 0% (0)
- 0% (0)
- 0% (0)
Todos los libros de nuestro catálogo son Originales.
El libro está escrito en Swahili .
La encuadernación de esta edición es Tapa Blanda.
✓ Producto agregado correctamente al carro, Ir a Pagar.